Cristiano Ronaldo akifanya mazoezi na Real Madrid Uwanja wa Valdebebas leo kujiandaa na mchezo wa kesho wa marudiano wa Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya Bayern Munich Uwanja wa Bernabeu. Real inahitaji hata sare kusonga mbele baada ya ushindi wa 2-1 kwenye mchezo wa kwanza wiki iliyopita mjini Munich PICHA ZAIDI GONGA HAPA
How Brooklyn Beckham failed at Arsenal and set football's biggest nepo baby
on path to marry a billionaire and split with his parents
-
Anxiety was highlighted as one of the reasons Brooklyn had opted to step
away from following in his father's footsteps and pursuing a career as a
professio...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment