• HABARI MPYA

    Monday, April 17, 2017

    RONALDO AREJEA MAZOEZINI REAL MADRID IKIJIANDAA KUIVAA BAYERN KESHO

    Cristiano Ronaldo akifanya mazoezi na Real Madrid Uwanja wa Valdebebas leo kujiandaa na mchezo wa kesho wa marudiano wa Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya Bayern Munich Uwanja wa Bernabeu. Real inahitaji hata sare kusonga mbele baada ya ushindi wa 2-1 kwenye mchezo wa kwanza wiki iliyopita mjini Munich PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: RONALDO AREJEA MAZOEZINI REAL MADRID IKIJIANDAA KUIVAA BAYERN KESHO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top