• HABARI MPYA

    Sunday, April 16, 2017

    POGBA LEO AMEJENGA HESHIMA...N'GOLO KANTE KASHIKA ADABU

    Paul Pogba wa Manchester United akimfunga tela Mfaransa mwenzake, N'Golo Kante wa Chelsea katika mchezo wa Ligi Kuu ya England baina ya timu hizo leo Uwanja wa Old Trafford. Man United imeshinda 2-0 mabao ya Marcus Rashford na Ander Herrera  PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: POGBA LEO AMEJENGA HESHIMA...N'GOLO KANTE KASHIKA ADABU Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top