Beki wa kati wa Arsenal, Shkodran Mustafi akikimbia kushangilia baada ya kuifungia timu yake bao la kusawazisha dakika ya 53 ikitoa sare ya 2-2 na Manchester City katika mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa Emirates, London. Bao lingine la Arsenal lilifungwa na Theo Walcott dakika ya 40, wakati ya Man City yamefungwa na Leroy Sane dakika ya tano na Sergio Aguero dakika ya 42 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Tyson Fury could still pull out of the Oleksandr Usyk fight claims George
Groves as vents about the WBC not penalising the Gypsy King
-
George Groves believes Tyson Fury could still pull out of the undisputed
title fight with Oleksandr Usyk and claims the WBC will do nothing about it.
39 minutes ago
0 comments:
Post a Comment