Beki wa kati wa Arsenal, Shkodran Mustafi akikimbia kushangilia baada ya kuifungia timu yake bao la kusawazisha dakika ya 53 ikitoa sare ya 2-2 na Manchester City katika mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa Emirates, London. Bao lingine la Arsenal lilifungwa na Theo Walcott dakika ya 40, wakati ya Man City yamefungwa na Leroy Sane dakika ya tano na Sergio Aguero dakika ya 42 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
JMU at Oregon score, live updates: Follow College Football Playoff
first-round action
-
Can James Madison make it more than one-and-done as the biggest underdog of
the first round?
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment