• HABARI MPYA

    Thursday, April 20, 2017

    MONACO YAKAMILISHA SAFARI YA DORTMUND LIGI YA MABINGWA

    Kylian Mbappe (kushoto) akishangilia kibabe baada ya kuifungia Monaco bao la kwanza katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Borussia Dortmund kwenye mchezo wa marudiano wa Ligi ya Mabingwa Ulaya Uwanja wa Louis II mjini Monaco, Ufaransa. Kulia ni mfungaji wa bao la pili Radamel Falcao dakika ya 17 na bao la tatu lilifungwa na Valere Germain dakika ya 81 wakati bao pekee la Dortmund lilifungwa na Marco Reus dakika ya 48. Monaco inasonga mbele kwa ushindi wa jumla wa 6-3, baada ya awali kushinda 3-2 Dortmund PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MONACO YAKAMILISHA SAFARI YA DORTMUND LIGI YA MABINGWA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top