Kylian Mbappe (kushoto) akishangilia kibabe baada ya kuifungia Monaco bao la kwanza katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Borussia Dortmund kwenye mchezo wa marudiano wa Ligi ya Mabingwa Ulaya Uwanja wa Louis II mjini Monaco, Ufaransa. Kulia ni mfungaji wa bao la pili Radamel Falcao dakika ya 17 na bao la tatu lilifungwa na Valere Germain dakika ya 81 wakati bao pekee la Dortmund lilifungwa na Marco Reus dakika ya 48. Monaco inasonga mbele kwa ushindi wa jumla wa 6-3, baada ya awali kushinda 3-2 Dortmund PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Angry fans blast Miami 'thug' Jakobe Thomas for shocking hit on Fernando
Mendoza that left Indiana star bleeding
-
Dave Portnoy led the fury among stunned college football fans who called
out the Miami Hurricanes' Jakobe Thomas for his violent hit on Indiana
quarterback...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment