Lionel Messi akishangilia baada ya kuifungia Barcelona mabao mawili dakika za 17 na 38 katika ushindi wa 3-2 dhidi ya Real-Sociedad usiku wa Jumamosi Uwanja wa Camp Nou kwenye mchezo wa La Liga. Bao lingine la Barca limefungwa na Paco Alcacer dakika ya 44 wakati mabao ya Sociedad yamefungwa na Samuel Umtiti aliyejifunga dakika ya 42 na Xabi Prieto dakika ya 45 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
'World's sexiest footballer' Alisha Lehmann returns to English football
just hours after going public with new Love Island and Baller League star
boyfriend
-
Lehmann had been playing her football recently for Italian side Como but is
back in England having had previous spells at West HamUnited, Everton(on
loan) ...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment