Lionel Messi akishangilia baada ya kuifungia Barcelona mabao mawili dakika za 17 na 38 katika ushindi wa 3-2 dhidi ya Real-Sociedad usiku wa Jumamosi Uwanja wa Camp Nou kwenye mchezo wa La Liga. Bao lingine la Barca limefungwa na Paco Alcacer dakika ya 44 wakati mabao ya Sociedad yamefungwa na Samuel Umtiti aliyejifunga dakika ya 42 na Xabi Prieto dakika ya 45 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Sauce Gardner sparks 'Drake Curse' fears among Jets fans after posting a
picture with the world-famous rapper, before telling supporters 'we good'
in follow-up post
-
Sauce Gardner has sparked fears among Jets fans that the team will fall
victim to the 'Drake Curse' after he posted a picture with the rapper.
13 minutes ago
0 comments:
Post a Comment