Christian Benteke wa Crystal Palace (kulia) akijipinda hewani kumtungua kipa wa Leicester City, Kasper Schmeichel dakika ya 70 katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Selhurst Park, London kuipatia timu yake sare ya 2-2. Bao lingine la Palace lilifungwa na Yohan Cabaye dakika ya 54, wakati mabao ya Leicester yalifungwa na Robert Huth dakika ya sita na Jamie Vardy dakika ya 52 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Everton legend reveals he was kidnapped and held at knifepoint for a
six-figure ransom after being lured to Morocco for fake job in Saudi Arabia
-
Everton legend Adrian Heath admits he is lucky to be alive after being
kidnapped and threatened with a knife after being lured to Morocco to
interview for ...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment