Christian Benteke wa Crystal Palace (kulia) akijipinda hewani kumtungua kipa wa Leicester City, Kasper Schmeichel dakika ya 70 katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Selhurst Park, London kuipatia timu yake sare ya 2-2. Bao lingine la Palace lilifungwa na Yohan Cabaye dakika ya 54, wakati mabao ya Leicester yalifungwa na Robert Huth dakika ya sita na Jamie Vardy dakika ya 52 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Gary Neville dismisses three big name managers linked with the Manchester
United job and says he'd rather KEEP Erik ten Hag then hand the reins over
to 'someone who isn't a good fit' for the club
-
Gary Neville has shutdown three potential managers linked with the
Manchester United job should Erik ten Hag get sacked from the role.
48 minutes ago
0 comments:
Post a Comment