Nahodha wa Manchester City, Vincent Kompany akishangilia baada ya kuifungia timu yake bao la kwanza dakika ya 55 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya wenyeji,
Southampton, Jumamosi Uwanja wa St. Mary's, Southampton. Mabao mengine ya Man City yalifungwa na Leroy Sane dakika ya 77 na Sergio Aguero dakika ya 80 PICHA ZAIDI GONHA HAPA
Southampton, Jumamosi Uwanja wa St. Mary's, Southampton. Mabao mengine ya Man City yalifungwa na Leroy Sane dakika ya 77 na Sergio Aguero dakika ya 80 PICHA ZAIDI GONHA HAPA
0 comments:
Post a Comment