Riyad Mahrez (kulia) akijaribu kuuweka mpira kwenye himaya yake dhidi ya beki wa kati wa Atletico Madrid, Diego Godin katika mchezo wa marudiano wa Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa King Power timu hizo zikitoka sare ya 1-1. Saul Niguez alianza kuifungia Atletico dakika ya 26, kabla ya Jamie Vardy kuisawazishia Leicester dakika ya 61 na kwa matokeo hayo Madrid inasonga mbele kwa ushindi wa jumla wa 2-1 baada ya awali kushinda 2-1 Hispania PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Liverpool failed but gave fans hope that the Jurgen Klopp era can still
have a magical ending, writes LEWIS STEELE
-
LEWIS STEELE AT STADIO DI BERGAMO: If you are going to fail, then make sure
you fail beautifully. That was the rallying cry of Jurgen Klopp beforehand.
26 minutes ago
0 comments:
Post a Comment