Paulo Dybala (kulia) akipeana mkono na Mwenyekiti wa Juventus, Andrea Agnelli (kushoto) baada ya kusaini mkataba mpya wa miaka mitano utakaomuweka Torino hadi mwaka 2022 akilipwa Pauni 110,000 kwa wiki. Amesaini mkataba mpya siku mbili baada ya mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 23 kufunga mabao mawili juzi katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Barcelona kwenye Ligi ya Mabingwa Ulaya PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Mali's government moves to impose fuel rationing as al-Qaida-linked attacks
cut off supplies
-
LAGOS, Nigeria (AP) — Mali’s government has moved to impose fuel rationing
to counter widespread shortages caused by al-Qaida-linked groups operating
in th...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment