Paulo Dybala (kulia) akipeana mkono na Mwenyekiti wa Juventus, Andrea Agnelli (kushoto) baada ya kusaini mkataba mpya wa miaka mitano utakaomuweka Torino hadi mwaka 2022 akilipwa Pauni 110,000 kwa wiki. Amesaini mkataba mpya siku mbili baada ya mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 23 kufunga mabao mawili juzi katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Barcelona kwenye Ligi ya Mabingwa Ulaya PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Liverpool AGREE deal with Feyenoord to make Arne Slot Reds' new manager, as
Dutch side accept compensation package for boss to replace Jurgen Klopp
-
Arne Slot is set to be named the new manager of Liverpool , after the club
agreed a compensation package with Feyenoord.
26 minutes ago
0 comments:
Post a Comment