Roberto Firmino akimpongeza Philippe Coutinho (kushoto) baada ya kuifungia Liverpool bao la pili dakika ya 50 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Derby County kwenye mchezo wa Kombe la Ligi England usiku huu Uwanja wa iPro. Mabao mengine ya Liverpool yamefungwa na Ragnar Klavan dakika ya 24 na Divock Origi dakika ya 54 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Lewis Hamilton suffers heavy CRASH during final practice ahead of Abu Dhabi
Grand Prix as nightmare debut season with Ferrari hits fresh low
-
Lewis Hamilton's nightmare debut season with Ferrari is showing no signs of
abating after the seven-time world champion suffered a heavy crash in third
pra...
59 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment