Lucas Perez akipongezwa na wachezaji wenzake wa Arsenal baada ya kufunga bao la tatu dakika ya 71 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Nottingham Forest kwenye mchezo wa Kombe la Ligi England Uwanja wa City. Perez alifunga bao lingine dakika ya 60, wakati mabao mengine ya Arsenal yamefungwa na Granit Xhaka dakika ya 23 na Alex Oxlade-Chamberlain dakika ya 93 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Tower of London closed after protesters throw custard at Crown Jewels
display
-
Four people were arrested after food was thrown at a case holding the State
Crown, prompting police to shut the historic attraction while an
investigation ...
16 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment