Cesc Fabregas akishangilia baada ya kufunga mabao mawili dakika ya 92 na 94 katika ushindi wa 4-2 dhidi ya Leicester City kwenye mchezo wa Kombe la Ligi England Uwanja wa King Power. Mabao mengine ya Chelsea yamefungwa na Gary Cahill dakika ya 47 na Cesar Azpilicueta dakika yav 49, wakati ya Leicester yalifungwa na Shinji Okazaki dakika ya 17 na 34 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
No time for a rest! England face nightmare run of FOUR games in just 12
days during hectic 2026 World Cup
-
England's games will essentially be crammed into a week less because they
have been drawn in Group L and will not play game one until six days after
the Wo...
14 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment