Cesc Fabregas akishangilia baada ya kufunga mabao mawili dakika ya 92 na 94 katika ushindi wa 4-2 dhidi ya Leicester City kwenye mchezo wa Kombe la Ligi England Uwanja wa King Power. Mabao mengine ya Chelsea yamefungwa na Gary Cahill dakika ya 47 na Cesar Azpilicueta dakika yav 49, wakati ya Leicester yalifungwa na Shinji Okazaki dakika ya 17 na 34 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
2023/24 Ghana Premier League: Week 27 Match Preview – RTU vs. Nsoatreman
FC
-
Bottom-placed RTU welcome Nsoatreman FC to the Naa Sheriga Sports Complex
for premier league business on Sunday, April 21 2024.The Pride of the North
are a...
19 minutes ago
0 comments:
Post a Comment