• HABARI MPYA

    Monday, August 01, 2016

    ARSENAL YAPIGA MTU 3-1 MAREKANI, OXLADE-CHAMBERLAIN APIGA SHUGHULI SI YA KITOTO

    Alex Oxlade-Chamberlain akishangilia baada ya kuifungia Arsenal katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Chivas Alfajiri ya leo Uwanja wa StubHub Center mjini Los Angeles, Marekani. Mabao mengine ya The Gunners yamefungwa na Rob Holding na Chuba Akpom PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: ARSENAL YAPIGA MTU 3-1 MAREKANI, OXLADE-CHAMBERLAIN APIGA SHUGHULI SI YA KITOTO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top