• HABARI MPYA

    Tuesday, May 03, 2016

    HIVI NDIVYO ERASTO NYONI ALIVYOWAUMIZIA SIMBA UGANDO WAO

    Mshambuliaji kinda wa Simba SC, Hijja Ugando akiwa na jeraha kichwani baada ya kuumizwa na beki wa Azam FC, Erasto Nyoni katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara Jumapili Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam timu hizo zikitoka sare ya 0-0

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: HIVI NDIVYO ERASTO NYONI ALIVYOWAUMIZIA SIMBA UGANDO WAO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top