• HABARI MPYA

    Tuesday, April 19, 2016

    YANGA SC MAZOEZINI JANA USIKU ALEXANDRIA

    Wachezaji wa Yanga wakiwa mazoezini jana usiku mjini Alexandria, Misri kujiandaa na mchezo wa marudiano dhidi ya wenyeji Al Ahly kesho Uwanja wa Brog El Arab hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Afrika. Yanga inahitaji ushindi wa ugenini baada ya sare ya 1-1 kwenye mchezo wa kwanza Dar es Salaam 

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: YANGA SC MAZOEZINI JANA USIKU ALEXANDRIA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top