Beki wa Yanga, Juma Abdul akimfunga behewa mshambuliaji wa Mtibwa Sugar, Kevin Friday |
Haruna Niyonzima akipiga mpira mbele ya mchezaji wa Mtibwa Sugar |
Kiungo wa Yanga, Thabani Kamusoko (kushoto) akimiliki mpira pembeni ya mchezaji wa Mtibwa |
Mfungaji wa bao la Yanga jana, Simon Msuva akimtoka beki wa Mtibwa Sugar |
Mshambuliaji wa Yanga akimfunga tela kiungo wa Mtibwa, Henry Joseph Shindika |
0 comments:
Post a Comment