Shabiki wa Borussia Dortmund akiwa ameshika bango lililoandikwa 'All you need is Klopp, all we need is the cup' yaani 'Unachohitaji ni Klopp, tunachohitaji ni Kombe' wakati wa mchezo wa kwanza wa Robo Fainali ya UEFA Europa League dhidi ya Liverpool inayofundishwa na kocha wao wa zamani, Jugern Klopp. Timu hizo zimetoka sare ya 1-1 Uwanja wa Signal Iduna Park, Dortmund na wiki ijayo zitarudiana Uwanja wa Anfield, Liverpool PICHA ZAIDI GONGA HAPA
What is a vibration plate? This nifty exercise gadget can help with weight
loss and improve strength — and it's 58% off on Amazon
-
More than 3,000 Amazon shoppers just bought this "game-changer" exercise
machine.
28 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment