Mshambuliaji wa Barcelona, Luis Suarez akiruka juu kushangilia baada ya kuifungia timu yake bao la kwanza dakika ya 11 katika ushindi wa 8-0 dhidi ya Deportivo La Coruna kwenye mchezo wa La Liga usiku huu Uwanja wa Manispaa ya Riazor, La Coruna. Suarez alifunga mabao manne, mengine dakika za 24, 53 na 64, wakati mabao mengine yamefungwa na Ivan Rakitic dakika ya 47, Lionel Messi dakika ya 73, Marc Bartra dakika ya 79 na Neymar Junior dakika ya 81 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Messe, Konzerte und Fußball: Frühzeitig anreisen zum Leverkusen-Spiel
-
Am Sonntag trifft Borussia Dortmund im SIGNAL IDUNA PARK auf Bayer
Leverkusen (Anstoß 17:30 Uhr). Aufgrund mehrerer Veranstaltungen in den
Westfalenhallen ...
17 minutes ago
0 comments:
Post a Comment