Mshambuliaji wa Barcelona, Luis Suarez akiruka juu kushangilia baada ya kuifungia timu yake bao la kwanza dakika ya 11 katika ushindi wa 8-0 dhidi ya Deportivo La Coruna kwenye mchezo wa La Liga usiku huu Uwanja wa Manispaa ya Riazor, La Coruna. Suarez alifunga mabao manne, mengine dakika za 24, 53 na 64, wakati mabao mengine yamefungwa na Ivan Rakitic dakika ya 47, Lionel Messi dakika ya 73, Marc Bartra dakika ya 79 na Neymar Junior dakika ya 81 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Footy great thought he was going to die when he saved teen from drowning in
a rip: 'I'm not going to make it'
-
Former Manly rugby league star Charlie Haggett has revealed how he thought
he'd drown at a NSW beach after saving a distressed boy who was caught in a
dang...
31 minutes ago
0 comments:
Post a Comment