Mshambuliaji wa Barcelona, Luis Suarez akiruka juu kushangilia baada ya kuifungia timu yake bao la kwanza dakika ya 11 katika ushindi wa 8-0 dhidi ya Deportivo La Coruna kwenye mchezo wa La Liga usiku huu Uwanja wa Manispaa ya Riazor, La Coruna. Suarez alifunga mabao manne, mengine dakika za 24, 53 na 64, wakati mabao mengine yamefungwa na Ivan Rakitic dakika ya 47, Lionel Messi dakika ya 73, Marc Bartra dakika ya 79 na Neymar Junior dakika ya 81 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
ASHES BREAKFAST: England bowlers flayed as Jamie Smith delivers abiding
image after drop, Joe Root neuters Australia's headline makers and Nathan
Lyon is left feeling 'filthy', writes OLIVER HOLT
-
It was a difficult first session in the field. Wicketkeeper Jamie Smith put
down a simple catch from Travis Head, off the bowling of Archer, and that
seeme...
33 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment