Mshambuliaji wa Tottenham Hotspur, Harry Kane (kushoto) akishangilia na Jan Vertonghen baada ya kuifungia mabao mawili timu yake katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Stoke City kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Britannia. Mabao mengine ya Spurs yalifungwa na Dele Alli na sasa timu hiyo inafikisha pointi 68 baada ya kucheza mechi 34 na kuendelea kukaa nafasi ya pili nyuma ya Leicester City yenye pointi 73 za mechi 34 pia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
ASHES PLAYER RATINGS - THIRD TEST: England duo each given a TWO after
'mental disintegration' in Adelaide while Australian hero nearly scores a
perfect 10 - but his team-mate is 'out of his depth'
-
LAWRENCE BOOTH IN ADELAIDE: England's quest to win an Ashes series Down
Under has failed once again after losing the third Test by 82 runs to
condemn them ...
23 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment