![]() |
| Kiungo Frank Domayo (katikati) akifurahia mbele ya kamera ya BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE wakati wa mapumziko mafupi ya kunywa maji |
![]() |
| Kocha Muingereza Stewart Hall (katikati) akitoa maelekezo kwa wachezaji wake |
![]() |
| Mshambuliaji Ame Ali (kushoto) akiuvuta mpira mbele ya wachezaji wenzake |
![]() |
| Kiungo Kipre Michael Balou akiambaa na mpira mbele ya mshambuliaji Didier Kavumbangu |
![]() |
| Wachezaji wa Azam FC katika kikao kifupi cha maelekezo kutoka kwa kocha wao Mkuu, Stewart Hall kabla ya kuanza mazoezi |
![]() |
| Kocha Msaidizi, Mromania Mario Marinica akimpa maelekezo kiungo Himid Mao |
![]() |
| Mlezi wa Azam FC, Jamal Bakhresa (kushoto) akiwa na Mtendaji Mkuu wa BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE, Mahmoud Zubeiry (kulia) |
![]() |
| Mangazaji wa Azam TV, Baruwan Muhuza (kulia) akiwa na mpiga picha wake |
![]() |
| Viongozi mbalimbali wa Azam FC wakifuatilia mazoezi ya timu yao leo uwanjani hapo |












.png)
0 comments:
Post a Comment