Mshambuliaji wa Paris Saint Germain, Zlatan Ibrahimovic (katikati) akiondoka kibabe baada ya kuifungia timu yake mabao matatu katika ushindi wa 4-1 dhidi ya Nice katika Ligue 1 ya Ufaransa Jumamosi Uwanja wa Parc des Princes. Bao lingine la PSG limefungwa na David Luiz made wakati la Nice limefungwa na Hatem Ben Arfa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Furious NFL star Puka Nacua sparks yet more controversy with locker room
tweet that will likely land him a HUGE fine
-
The Rams were on the end of a gutting overtime loss to their rival Seattle
Seahawks on Thursday, with a bizarre two-point conversion at the heart of
the ho...
31 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment