• HABARI MPYA

    Sunday, April 03, 2016

    MARTIAL AWALAZA UNONO MAN UNITED, APIGA LA USHINDI WAKIUA 1-0 ENGLAND

    Kinda wa miaka 20 wa Manchester United, Anthony Martial akikimbia kushangilia baada ya kuifungia timu yake bao pekee la ushindi dakika ya 54 dhidi ya Everton katika mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa Old Trafford PICHA ZAIDI GONGA HAPA
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MARTIAL AWALAZA UNONO MAN UNITED, APIGA LA USHINDI WAKIUA 1-0 ENGLAND Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top