Nyota wa Leicester City, Wes Morgan akishangilia baada ya kuifungia timu yake bao pekee la ushindi dakika ya 38 wakiilaza 1-0 Southampton katika mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja King Power. Leicester City sasa inafikisha pointi 69 baada ya kucheza mechi 32, ikiwazidi kwa pointi saba Tottenham Hotspur walio nafasi ya pili baada ya kucheza mechi 32 pia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Hilarious moment darts star RUNS AWAY from the Ally Pally wasp as insect
causes more havoc at World Darts Championship
-
The insect has become as much of a feature in the World Darts Championship
as the arrows themself, and provided yet more entertainment on Friday
evening.
45 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment