Eliaquim Mangala wa Manchester City akimtoka Moussa Sissoko wa Newcastle United katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa St James' Park usiku wa Jumatatu timu hizo zikitoka sare ya 1-1. Bao la City lilifungwa na Sergio Aguero kwa kichwa dakika ya 14, kabla ya Vurnon Anita kuiswazishia Newcastle dakika ya 60 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Watch Shohei Ohtani get introduced as a Dodger for the first time by Brian
Cranston at Dodger Stadium on Opening Day amid a betting scandal and the
firing of his former interpreter Ippei Mizuhara
-
Los Angeles Dodgers star Shohei Ohtani tried to put on a happy face as he
was introduced as a member of his new team for the first time amid chaos
off the ...
26 minutes ago
0 comments:
Post a Comment