Mshambuliaji wa Manchester City, Sergio Aguero akishangilia baada ya kukamilisha hat-trick yake dakika ya 80 kwa mkwaju wa penalti baada ya kipa wa Chelsea Thibaut Courtois kutolewa kwa kaid nyekundu kwa kumuangusha Fernandinho. Mabao mengine Aguero alifunga dakika za 33 na 54, Chelsea pungufu ikilala 3-0 katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Stamford Bridge, London PICHA ZAIDI GONGA HAPA
O'Sullivan races through to last 16 at Crucible
-
Seven-time world champion Ronnie O'Sullivan races through the two frames he
needed to thrash Jackson Page and move into the last 16.
39 minutes ago
0 comments:
Post a Comment