Mshambuliaji wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo akiwa ameweka mpira ndani ya jezi yake baada ya kufunga mabao manne peke yake katika ushindi wa 7-1 dhidi ya Celta Vigo kwenye mchezo wa La Liga leo Uwanja wa Bernabeu. Mabao mengine ya Real yamefungwa na Pepe, Jese Rodriguez na Gareth Bale, wakati la Celta Vigo limefungwa na Iago Aspas PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Worth the jaw break, Jake? Battle-scared Paul flaunts his winnings from
£140m knockout defeat against Anthony Joshua - posing with wads of cash and
SIX guns on a private jet
-
Jake Paul appeared to flaunt his winnings as he jetted out of Miami after
undergoing surgery to repair his broken jaw in the wake of his £140million
blockb...
10 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment