Mshambuliaji wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo akiwa ameweka mpira ndani ya jezi yake baada ya kufunga mabao manne peke yake katika ushindi wa 7-1 dhidi ya Celta Vigo kwenye mchezo wa La Liga leo Uwanja wa Bernabeu. Mabao mengine ya Real yamefungwa na Pepe, Jese Rodriguez na Gareth Bale, wakati la Celta Vigo limefungwa na Iago Aspas PICHA ZAIDI GONGA HAPA
No. 1 UNC Upset by Alabama in Sweet 16 as March Madness Fans Criticize RJ
Davis
-
RJ Davis had been one of the best players in college basketball all season,
but on Thursday his shot wasn't falling as No. 4 Alabama beat No. 1 North
Carol...
48 minutes ago
0 comments:
Post a Comment