Mshambuliaji kinda wa miaka 18 wa Manchester United, Marcus Rashford akiwa ameshikilia tuzo ya Mchezaji Bora wa klabu ya Februari baada ya kukabidhiwa leo. Rashford ameshinda tuzo hiyo baada ya kuchea kwa dakika 170 tu na kufunga mabao manne mawili kila mechi, dhidi ya Midtjylland na Arsenal PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Back in the swing
-
Some of United's internationals return to training ahead of the Brentford
clash...
35 minutes ago
0 comments:
Post a Comment