• HABARI MPYA

    Saturday, March 05, 2016

    RASHFORD MCHEZAJI BORA WA FEBRUARI MANCHESTER UNITED

    Mshambuliaji kinda wa miaka 18 wa Manchester United, Marcus Rashford akiwa ameshikilia tuzo ya Mchezaji Bora wa klabu ya Februari baada ya kukabidhiwa leo. Rashford ameshinda tuzo hiyo baada ya kuchea kwa dakika 170 tu na kufunga mabao manne mawili kila mechi, dhidi ya Midtjylland na Arsenal PICHA ZAIDI GONGA HAPA
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: RASHFORD MCHEZAJI BORA WA FEBRUARI MANCHESTER UNITED Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top