Mshambuliaji Cristiano Ronaldo akifumua shuti kuifungia Real Madrid katika ushindi wa 2-0 dhidi ya AS Roma kwenye mchezo wa marudiano hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa Jumatatu Uwanja wa Bernabeu, hilo likiwa bao lake la 90 kwenye michuano hiyo. Bao lingine la Real inayotinga Roibo Fainali kwa ushindi wa jumla wa 4-0 baada ya awali kushinda 2-0 pia Italia, lilifungwa na James Rodriguez. Mchezo mwingine wa jana, VfL Wolfsburg iliifunga 1-0 KAA Gent Uwanja wa Volkswagen Arena, bao pekee la Andre Schurrle hivyo kusonga mbele kwa ushindi wa jumla wa 4-2, baada ya awali kushinda 3-2 Ubelgiji PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Georgia star Javon Bullard screams 'I'm a F****NG Packer' in joyous scenes
with his family after getting NFL Draft call from Green Bay in second round
-
Georgia safety Javon Bullard shared a joyous moment with his family on
Friday night, screaming 'I'm a f****ng Packer!' after getting an
all-important call ...
28 minutes ago
0 comments:
Post a Comment