• HABARI MPYA

    Wednesday, March 09, 2016

    RONALDO AFUNGA BAO LA 90 ULAYA REAL MADRID IKITINGA ROBO FAINALI LIGI YA MABINGWA

    Mshambuliaji Cristiano Ronaldo akifumua shuti kuifungia Real Madrid katika ushindi wa 2-0 dhidi ya AS Roma kwenye mchezo wa marudiano hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa Jumatatu Uwanja wa Bernabeu, hilo likiwa bao lake la 90 kwenye michuano hiyo. Bao lingine la Real inayotinga Roibo Fainali kwa ushindi wa jumla wa 4-0 baada ya awali kushinda 2-0 pia Italia, lilifungwa na James Rodriguez. Mchezo mwingine wa jana, VfL Wolfsburg iliifunga 1-0 KAA Gent Uwanja wa Volkswagen Arena, bao pekee la Andre Schurrle hivyo kusonga mbele kwa ushindi wa jumla wa 4-2, baada ya awali kushinda 3-2 Ubelgiji PICHA ZAIDI GONGA HAPA

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: RONALDO AFUNGA BAO LA 90 ULAYA REAL MADRID IKITINGA ROBO FAINALI LIGI YA MABINGWA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top