Mshambuliaji wa Arsenal, Theo Walcott akipongezwa na wachezaji wenzake, Kieran Gibbs na Alex Iwobi baada ya kufunga bao lake la pili usiku wa kuamkia leo katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Hull City katika mchezo wa 16 Bora Kombe la FA England Uwanja wa KC. Walcott alifunga mabao mawili na mengine Olivier Giroud na sasa The Gunners inakwenda Robo Fainali ya michuano hiyo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Battered and bruised Jake Paul struggles to speak on podcast after Anthony
Joshua fight
-
A groggy Jake Paul said, with some difficulty, that his broken jaw feels
like it has a baseball inside it after getting a battering from Anthony
Joshua las...
57 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment