Mshambuliaji wa Arsenal, Theo Walcott akipongezwa na wachezaji wenzake, Kieran Gibbs na Alex Iwobi baada ya kufunga bao lake la pili usiku wa kuamkia leo katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Hull City katika mchezo wa 16 Bora Kombe la FA England Uwanja wa KC. Walcott alifunga mabao mawili na mengine Olivier Giroud na sasa The Gunners inakwenda Robo Fainali ya michuano hiyo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jude Bellingham takes his girlfriend Ashlyn Castro to watch Real Madrid
win, Bukayo Saka buys his fiancee Tolami Benson flowers and Richarlison has
his faced licked! - How footballers celebrated Valentine's Day
-
Saturday marked Valentine's Day but with the majority of footballers
involved with a football match, it may not be too surprising that there
wasn't too man...
57 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment