Mshambuliaji wa Arsenal, Theo Walcott akipongezwa na wachezaji wenzake, Kieran Gibbs na Alex Iwobi baada ya kufunga bao lake la pili usiku wa kuamkia leo katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Hull City katika mchezo wa 16 Bora Kombe la FA England Uwanja wa KC. Walcott alifunga mabao mawili na mengine Olivier Giroud na sasa The Gunners inakwenda Robo Fainali ya michuano hiyo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
2023/24 Ghana Premier League: Week 27 Match Preview – RTU vs. Nsoatreman
FC
-
Bottom-placed RTU welcome Nsoatreman FC to the Naa Sheriga Sports Complex
for premier league business on Sunday, April 21 2024.The Pride of the North
are a...
20 minutes ago
0 comments:
Post a Comment