Mbrazil Carlos Henrique Jose Francisco Venancio 'Casemiro' amekuwa shujaa wa Real Madrid baada ya bao lake la kichwa dakika ya 89 kuipa timu hiyo ushindi wa 2-1 dhidi ya Las Palmas katika mchezo wa La Liga usiku huu Uwanja wa Gran Canaria. Bao la wenyeji lilifungwa na Willian Jose Da Silva dakika ya 87, baada Sergio Ramos kutangulia kuifungia Real dakika ya 24 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
What to know about Diego Garcia after Iran targets the remote island's key
US military base
-
Iran has launched missiles at Diego Garcia, an Indian Ocean island that is
home to a strategic U.K.-U.S. military base. Britain condemned “Iran’s
reckless ...
59 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment