Mbrazil Carlos Henrique Jose Francisco Venancio 'Casemiro' amekuwa shujaa wa Real Madrid baada ya bao lake la kichwa dakika ya 89 kuipa timu hiyo ushindi wa 2-1 dhidi ya Las Palmas katika mchezo wa La Liga usiku huu Uwanja wa Gran Canaria. Bao la wenyeji lilifungwa na Willian Jose Da Silva dakika ya 87, baada Sergio Ramos kutangulia kuifungia Real dakika ya 24 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
REX ENERGY YAWAANDAA VIJANA 100 KUTOKA DIT KABLA YA KUWAPA AJIRA
-
*Na Ripota Wetu, Globu ya jamii*
*MKURUGENZI Mkuu wa Rex Energy inayojuhusisha na utoaji wa huduma ya umeme
wa jua Francis Kibhisa ameamua kutoa mafunzo ya ...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment