Mbrazil Carlos Henrique Jose Francisco Venancio 'Casemiro' amekuwa shujaa wa Real Madrid baada ya bao lake la kichwa dakika ya 89 kuipa timu hiyo ushindi wa 2-1 dhidi ya Las Palmas katika mchezo wa La Liga usiku huu Uwanja wa Gran Canaria. Bao la wenyeji lilifungwa na Willian Jose Da Silva dakika ya 87, baada Sergio Ramos kutangulia kuifungia Real dakika ya 24 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Doctor who helped convict Lucy Letby lives with ‘tiny guilt’ they could
have caught ‘wrong person’
-
A new Netflix documentary examines the case of the serial killer nurse and
those who doubt her conviction
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment