Nyota wa Barcelona, Lionell Messi (kulia) akifumua shuti kuifungia bao la pili timu yake katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Eibar kwenye mchezo wa La Liga leo Uwanja wa Manispaa ya Ipurua mjini Eibar. Messi amefunga mabao mawili, wakati mabao mengine yamefungwa na Munir El Haddadi na Luis Suarez PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Christiansen runs London Marathon in memory of aunt
-
Former England midfielder Izzy Christiansen explains why she will be
running Sunday's London Marathon in memory of her aunt.
47 minutes ago
0 comments:
Post a Comment