Nyota wa West Bromwich Albion, Salomon Rondon akifumua shuti huku beki wa Manchester United, Chris Smalling akijaribu kuzuia katika mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa The Hawthorns. WBA imeshinda 1-0, bao pekee la Rondon dakika ya 66 katika mchezo ambao United ilimaliza pungufu baada ya Juan Mata kutolewa kwa kadi nyekundu dakika ya 26 tu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jesse Lingard opens up on escaping the 'noise' of Manchester for South
Korea, eating LIVE octopus - and gives update on his future
-
When Jesse Lingard ditched England for a 5,000 mile switch to South Korea
in February 2024, it's fair to say that an eyebrow - or two - was raised.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment