Mshambuliaji wa Liverpool, Christian Benteke akishangilia baada ya kufunga bao la ushindi timu yake ikiilaza 2-1 Crystal Palace katika mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa Selhurst Park, London. Bao lingine la Liverpool ambalo ilicheza pungufu baada ya James Milner kutolewa kwa kadi nyekundu dakika ya 62 lilifungwa na Roberto Firmino, baada ya Joe Ledley kutangulia kuifungia Palace PICHA ZAIDI GONGA HAPA
'There was an intimidation at Celtic Park because the crowd forced that...'
Martin O'Neill pleads for peace to breakout between Parkhead board and fans
-
Martin O'Neill has pleaded with furious Celtic supporters to stop targeting
the club's board - claiming their actions have fuelled an atmosphere of
'intimi...
15 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment