Bondia Francis Cheka (wa pili kutoka kushoto) akikabidhi mkanda wa ubingwa wa mabara wa uzito wa Super Middle wa chama cha WBF kwa Waziri wa Habari, Utamaduni,Sanaa na Michezo Mhe.Nape Nnauye wapili kulia, wengine katika picha ni Mkurugenzi wa Kampuni yaAdvanced Security, Juma Ndambile (wa kwanza kushoto), Yasin "Ustadh" Abdallah (Katikati) na bondia Cosmas Cheka ambaye pia alikabidhi mkanda wa ubingwa wa uzito wa Light wa Afrika wa WBF
Waziri Nape Nnauye akimkabidhi cheti bondia Francis Cheka baada ya kushinda ubingwa wa Mabara wa uzito wa Super middle wa WBF
Bondia Francis Cheka akizungumza katika mkutano huo na kuipongeza serikali kwa kumtambua kwa kumpa cheti cha pongezi
Waziri Nape Nnauye akiuvaa mkanda wa ubingwa wa Mabara wa uzito wa Super middle wa WBF mara baada ya kukabidhiwa na bondia Francis Cheka.
Waziri Nape Nnauye akimkabidhi cheti bondia Francis Cheka baada ya kushinda ubingwa wa Mabara wa uzito wa Super middle wa WBF
Bondia Francis Cheka akizungumza katika mkutano huo na kuipongeza serikali kwa kumtambua kwa kumpa cheti cha pongezi
0 comments:
Post a Comment