• HABARI MPYA

    Thursday, March 03, 2016

    AZAM FC 'WALIVYOWAPASHIA' YANGA SC CHAMAZI LEO

    Kocha wa Azam FC, Muingereza Stewart Hall akitoa maelekezo kwa wachezaji wake wakati wa mazoezi leo asubuhi Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam kujiandaa na mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara dhidi ya Yanga SC Jumamosi Uwanja wa Taifa, Jijini
    Stewart aliwapa maelekezo tofauti wachezaji wake kuelekea mchezo wa Jumamosi
    Kocha wa makipa, Iddi Abubakr akitoa maelekezo kwa vijana wake
    Anayepiga mpira ni kiungo Salum Abubakar 'Sure Boy' ambaye yuko vizuri kuelekea mchezo huo
    Kipa Mwadini Ally akidaka mpira mazoeini leo Chamazi
    Anayepiga mpira ni Nahodha John Bocco 'Adebayor' ambaye yuko fiti kabisa kuelekea mchezo wa Jumamosi

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: AZAM FC 'WALIVYOWAPASHIA' YANGA SC CHAMAZI LEO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top