Kushoto ni Nahodha wa Azam FC, John Raphael Bocco na anayemfuatia ni kiungo Mudathir Yahya |
Vijana watanashati wakiwa na furaha wakati wa safari leo asubuhi |
Kocha Mkuu, Muingereza Stewart Hall (kushoto) akiwa na kocha wa makipa, Iddi Abubakar |
Wachezaji wa kigeni kutoka kulia Allan Wanga wa Kenya, Kipre Tchetche, Serge Wawa na Kipre Balou wote wa Ivory Coast |
Wawili hawa, Shomary Kapombe na Himid Mao kushoto wanaweza kucheza kama mabeki na viungo pia |
0 comments:
Post a Comment