Mcheza ngumi na mateke (Kickboxer) Badr Hari akitania ameoana na Cristiano Ronaldo wakati walipokutana mapumzikoni nchin9 Morocco. Ronaldo amepewa mapumziko Real Madrid na amekwenda Morocco na Badr Hari baada ya kuiwezesha Ureno kufuzu Euro 2016 kabla ya mchezo wao wa mwisho dhidi ya Serbia leo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Blakes' 17 points ease No. 13 Vanderbilt women past Albany
-
Mikayla Blakes extended her double-digit scoring streak to 30 games and
finished with 17 points and six steals as No. 13 Vanderbilt pulled away
from Albany...
30 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment