Mshambuliaji Robert Lewandowski 'akibusu' mbele ya mashabiki wa Poland baada ya kuifungia bao timu yake katika mchezo wa Kundi D usiku wa jana kufuzu Euro 2016 Ufaransa dhidi ya Jamuhuri ya Ireland katika ushindi wa 2-1. Bao lingine la Poland lilifungwa na kiungo Grzegorz Krychowiak, wakati la Ireland lilifungwa na Jon Walters kwa penalti baada ya Shane Long kuchezewa rafu na Jakub Wawrzyniak. PICHA ZAIDI GONGA HAPA
LA Rams superstar's brother arrested for stealing LA Lakers player's car in
bizarre cross-sport crime bombshell
-
Cops were called to the One Hotel in Hollywood after the vehicle was
tracked there, per a report from NBC4 Investigates, and it was then found
that the sus...
47 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment