• HABARI MPYA

    Sunday, April 15, 2018

    MANCHESTER UNITED 'WAIZAWADIA' UBINGWA MAN CITY

    Wachezaji wa Manchester United wakiwa wanyonge baada ya bao pekee la Jay Rodriguez dakika ya 73 ambalo limeipa ushindi wa 1-0 West Bromwich Albion leo katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Old Trafford, hivyo kuwafanya Manchester City wathibitishwe kuwa mabingwa wapya baada ya matokeo hayo PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MANCHESTER UNITED 'WAIZAWADIA' UBINGWA MAN CITY Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top