• HABARI MPYA

    Tuesday, January 16, 2018

    LUKAKU AFUNGA MANCHESTER UNITED YASHINDA 3-0 ENGLAND

    Mshambuliaji Mbelgiji, Romelu Lukaku akishangilia baada ya kuifungia Manchester United bao la mwisho dakika ya 72 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Stoke City kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Old Trafford usiku wa Jumatatu. Mabao mengine ya timu ya kocha Mreno, Jose Mourinho yamefungwa na Antonio Valencia dakika ya tisa na Anthony Martial dakika ya 38 PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: LUKAKU AFUNGA MANCHESTER UNITED YASHINDA 3-0 ENGLAND Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top