Mshambuliaji Mbelgiji, Romelu Lukaku akishangilia baada ya kuifungia Manchester United bao la mwisho dakika ya 72 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Stoke City kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Old Trafford usiku wa Jumatatu. Mabao mengine ya timu ya kocha Mreno, Jose Mourinho yamefungwa na Antonio Valencia dakika ya tisa na Anthony Martial dakika ya 38 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Former Liverpool star Fernando Torres mourns the death of his father as he
is flooded with messages of support from his former team-mates
-
Fernando Torres has been flooded with messages of support after announcing
that his father, Jose, has died in a post on social media.
41 minutes ago
0 comments:
Post a Comment