Mshambuliaji Mbelgiji, Romelu Lukaku akishangilia baada ya kuifungia Manchester United bao la mwisho dakika ya 72 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Stoke City kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Old Trafford usiku wa Jumatatu. Mabao mengine ya timu ya kocha Mreno, Jose Mourinho yamefungwa na Antonio Valencia dakika ya tisa na Anthony Martial dakika ya 38 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Beloved Candy Store Chain to Close Over ‘Economic Pressures’ After 141
Years in Business
-
Lammes Candies, which first opened in 1885, will shut all of its Texas
location
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment