Son Heung Min akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Tottenham Hotspur bao la kusawazisha dakika ya 25 katika sare ya 1-1 na wenyeji, Watford kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja Vicarage Road, Watford, Bao la Watford limefungwa na Christian Kabasele dakika ya 13 katika mchezo ambao, Davinson Sanchez wa Spurs alitolewa kwa kadi nyekundu ya moja kwa mopja kwa kugombana na kiungo Mbrazili, Richarlison PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Anthony Joshua invited me to a one-on-one chat moments after he downed Jake
Paul. Here's what struck me - and the reason why his coach is going to go
mad
-
In the minutes that followed Anthony Joshua's victory, it became clear this
wasn't a man basking in a win. This was a fighter already dissecting it.
Alread...
37 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment