Son Heung Min akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Tottenham Hotspur bao la kusawazisha dakika ya 25 katika sare ya 1-1 na wenyeji, Watford kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja Vicarage Road, Watford, Bao la Watford limefungwa na Christian Kabasele dakika ya 13 katika mchezo ambao, Davinson Sanchez wa Spurs alitolewa kwa kadi nyekundu ya moja kwa mopja kwa kugombana na kiungo Mbrazili, Richarlison PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Warriors' Kerr: 'A Lot of Value' in Keeping Steph, Klay, Draymond Together
'For Life'
-
After the Golden State Warriors' season-ending play-in tournament loss to
the Sacramento Kings on Tuesday, head coach Steve Kerr expressed the
importance of…
45 minutes ago
0 comments:
Post a Comment