Roberto Firmino (kushoto) akinyoosha mkono juu kushangilia kishujaa baada ya kuifungia Liverpool mabao mawili dakika za 31 na 48 katika ushindi wa 5-1 dhidi ya Brighton & Hove Albion kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa The American Express Community mjini Falmer, East Sussex. Mabao mengine ya Liverpool yamefungwa na Emre Can dakika ya 30, Roberto Firmino dakika ya 87 na Lewis Dunk aliyejifunga dakika ya 89 kufuatia kubabatizwa na mpira wa Coutinho. Bao la wenyeji, Brighton & Hove Albion limefungwa na Glenn Murray kwa penalti dakika ya 51 baada ya Shane Duffy kuchezewa faulo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Not since Diego Maradona have Argentina had a pantomime villain to match
wind-up merchant Emiliano Martinez... but his £16m move to Aston Villa is
one of Arsenal's daftest decisions this century
-
TOM COLLOMOSSE: The Aston Villa goalkeeper is the biggest wind-up merchant
in world football and is disliked in France in much the same way Maradona
was in...
41 minutes ago
0 comments:
Post a Comment