Sam Allardyce akishangilia baada ya kuanza kwa ushindi wa 2-0, mabao ya Gylfi Sigurdsson dakika ya 47 na Dominic Calvert-Lewin dakika ya 73 katika klabu mpya, Everton ikiilaza Huddersfield Town leo Uwanja wa Goodison Park kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Huo ni ushindi wa pili mfululizo, baada ya Jumatano kuifunga 4-0 West Ham United PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Samuel Inkoom urges massive support for Dreams FC ahead of semifinal
showdown with Zamalek
-
Former Asante Kotoko and Hearts of Oak defender Samuel Inkoom has called
for massive support for Dreams FC as they prepare to face Zamalek in the
second-le...
31 minutes ago
0 comments:
Post a Comment