Sam Allardyce akishangilia baada ya kuanza kwa ushindi wa 2-0, mabao ya Gylfi Sigurdsson dakika ya 47 na Dominic Calvert-Lewin dakika ya 73 katika klabu mpya, Everton ikiilaza Huddersfield Town leo Uwanja wa Goodison Park kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Huo ni ushindi wa pili mfululizo, baada ya Jumatano kuifunga 4-0 West Ham United PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Newcastle vs Chelsea - Premier League LIVE: Latest score, team news and
updates as the Blues are without keyman Estevao Willian for their trip to
St James' Park
-
Follow Daily Mail Sport's live blog for the latest score, team news and
updates a Newcastle host Chelsea at St James' Park in the Premier League.
27 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment