• HABARI MPYA

    Sunday, December 17, 2017

    SALAH AENDELEA KUMEREMETA LIVERPOOL IKIUA 4-0 ENGLAND

    Mohamed Salah akishangilia baada ya kuifungia bao la tatu Liverpool dakika ya 44 ikiwalaza 4-0 wenyeji AFC Bournemouth katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Vitality. Mabao mengine ya Liverpool yamefungwa na Philippe Coutinho dakika ya 20, Dejan Lovren dakika ya 26 na Roberto Firmino dakika ya 66 PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SALAH AENDELEA KUMEREMETA LIVERPOOL IKIUA 4-0 ENGLAND Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top