• HABARI MPYA

    Saturday, December 16, 2017

    OZIL AIFUNGIA BAO PEKEE ARSENAL YAILAZA 1-0 NEWCASTLE

    Mesut Ozil akishangilia baada ya kuifungia bao pekee Arsenal dakika ya 23 ikiilaza 1-0 Newcastle United Uwanja wa Emirates, London katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: OZIL AIFUNGIA BAO PEKEE ARSENAL YAILAZA 1-0 NEWCASTLE Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top