• HABARI MPYA

    Saturday, December 02, 2017

    BARCELONA 'YAKWIDWA' CAMP NOU, SARE 2-2 NA CELTA VIGO

    Wachezaji wa Barcelona wakiwa wanyonge baada ya kuwaruhusu Celta Vigo kupata bao la kusawazisha katika mchezo wa La Liga uliomalizika kwa sare ya 2-2 Uwanja wa Camp Nou. Mabao ya Barcelona yamefungwa na Lionel Messi dakika ya 22 na Luis Suarez dakika ya 62, wakati ya Celta Vigo yamefungwa na Iago Aspas dakika ya 20 na Maxi Gomez dakika ya 70 PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: BARCELONA 'YAKWIDWA' CAMP NOU, SARE 2-2 NA CELTA VIGO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top