Eden Hazard akishangilia baada ya kufunga mabao mawili dakika za 21 na 74 kwa penalti katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Newcastle United leo kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Stamford Bridge, London. Bao la pili la The Blues lilifungwa na Álvaro Morata dakika ya 33, wakati la Newcastle lilifungwa na Dwight Gayle dakika ya 12 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Samuel Inkoom urges massive support for Dreams FC ahead of semifinal
showdown with Zamalek
-
Former Asante Kotoko and Hearts of Oak defender Samuel Inkoom has called
for massive support for Dreams FC as they prepare to face Zamalek in the
second-le...
22 minutes ago
0 comments:
Post a Comment