• HABARI MPYA

    Saturday, December 02, 2017

    HAZARD AFUNGA MAWILI CHELSEA YASHINDA 3-1 DARAJANI

    Eden Hazard akishangilia baada ya kufunga mabao mawili dakika za 21 na 74 kwa penalti katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Newcastle United leo kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Stamford Bridge, London. Bao la pili la The Blues lilifungwa na Álvaro Morata dakika ya 33, wakati la Newcastle lilifungwa na Dwight Gayle dakika ya 12 PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: HAZARD AFUNGA MAWILI CHELSEA YASHINDA 3-1 DARAJANI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top