Jesse Lingard akishangilia baada ya kuifungia Manchester United mabao mawili dakika za 11 na 63 ikiwalaza wenyeji, Arsenal 3-1 katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Emirates, London. Bao lingine la Man United iliyomaliza pungufu baada ya kiungo wake, Paul Pogba kutolewa kwa kadi nyekundu ya moja kwa moja dakika ya 74 kwa kumchezea tafu Hector Bellerin, lilifungwa na Alexandre Lacazette dakika ya 49 akimalizia pasi ya Aaron Ramsey PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Gary Neville dismisses three big name managers linked with the Manchester
United job and says he'd rather KEEP Erik ten Hag then hand the reins over
to 'someone who isn't a good fit' for the club
-
Gary Neville has shutdown three potential managers linked with the
Manchester United job should Erik ten Hag get sacked from the role.
12 minutes ago
0 comments:
Post a Comment