Wachezaji wa timu ya soka ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, makipa Aishi Manula wa klabu ya Simba (kushoto) na Ramadhan Kabwili (kulia) na mshambuliaji Ibrahim Hajib (katikati) wote wa klabu ya Yanga wakifurahia kwenye bwawa la kuogelea katika hoteli ya Sea Scape, Kunduchi mjini Dar es Salaam ambako Taifa Stars imeweka kambi kujiandaa naa mchezo wa kirafiki dhidi nya Malawi Jumamosi wiki hii Uwanja wa Uhuru, Jijini.
'I feel so sorry for him' - no Kane, no gain for Bayern
-
When Harry Kane was on the pitch, Bayern Munich were heading to the
Champions League final at Wembley. When he wasn't there, it all went wrong.
32 minutes ago
0 comments:
Post a Comment