Wachezaji wa timu ya soka ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, makipa Aishi Manula wa klabu ya Simba (kushoto) na Ramadhan Kabwili (kulia) na mshambuliaji Ibrahim Hajib (katikati) wote wa klabu ya Yanga wakifurahia kwenye bwawa la kuogelea katika hoteli ya Sea Scape, Kunduchi mjini Dar es Salaam ambako Taifa Stars imeweka kambi kujiandaa naa mchezo wa kirafiki dhidi nya Malawi Jumamosi wiki hii Uwanja wa Uhuru, Jijini.
US House panel to vote on bill to give Congress authority over AI chip
exports
-
NEW YORK, Jan 21 (Reuters) - A key Republican lawmaker scheduled a
committee vote on Wednesday for a bill that would give Congress power over
artificial in...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment