• HABARI MPYA

    Sunday, October 08, 2017

    TAIFA STARS MJINI ADDIS ABABA TAYARI KUWAVAA ETHIOPIA 1995

    Wachezaji wa timu ya soka ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars kabla ya mchezo dhidi ya wenyeji, Ethiopia Uwanja wa Taifa wa Addis Ababa Januari 8 mwaka 1995. 
    Kutoka kushoto Hussein Marsha, Mustafa Hoza, Said Mwamba (marehemu), Mwanamtwa Kihwelo, Joseph Katuba nyuma kidogo (marehemu), Nico Bambaga (marehemu), Clement Kahbuka nyuma, Madaraka Selemani, Juma Amir, Sekilojo Chambua, George Masatu, Edibily Lunyamila, Alphonce Modest, Deo Mkuki na Nteze John.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: TAIFA STARS MJINI ADDIS ABABA TAYARI KUWAVAA ETHIOPIA 1995 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top